Wajasiriamali ni wengi katika tasnia hii ya technology. Kila
mtu anajaribu kutumia ukuaji wa technology katika maendeleo yake binafsi na
wengine wanatumia katika maendeleo ya jamii. Sikatai technology inafaida na
hasara zake ila ndo mfumo wa dunia ya leo kuwa kunafaida na hasara. Kwa upande
wa faida Wao hutenda kwa ufanisi wa hali
ya juu nakufanya kitu kuwa katika sifa na ubora, pia tabia na akili zao huja na
mawazo ambayo huleta hamasa jamii. Lakini kwa sababu tu wao wanafikiri awali na
kuja na wazo huchukua nafasi kubwa katika jamii zetu zinazotuzunguka. Kwa mfano
wapo watu maharufu sana duniani kutokana na utumiaji mzuri wa technologia. Wapo
nakina bill gates mmiliki na mwanzilishi wa microsoft, steven jobs moja wa
waanzilishi wa iphone, mark Mark Zuckerberg mwanzilishi wa facebook, Kevin Systromya
mwanzilishi wa instagram na wengine wengi wapo wanaoendelea kula matunda ya
technologia. Wewe pia unanafai yakufaidika na mitandao hata kwa kutumia ilio
anzishwa na watu wengine kama facebook unaweza kutangaza biashara yako na
ukapata wateja. Leo nakuletea baadhi ya sifa za wanatechnologia wajasiria mali
na wenye mafanikio.
Kama umewahi kujiuliza kama ungekuwa mwekezaji? Kama ujawaza sasa leo nakuomba uwaze kwa
kupitia sifa za wawekezaji na wajasiriamali wa technologia. sifa 7 za Wajasiriamali wa technology na Mafanikio
yao. Ntakulete wajasiria mali saba na mafanikio yao na kwanini wamefika hapo
walipo sasa endelea kufyatilia Makala yangu
Comments
Post a Comment