Skip to main content

Posts

5 Steps To Get Your Voice Heard At Meetings

Follow these five steps to get your voice heard during your next meeting. Master the pre-meeting Before the meeting, find something on agenda that you are passionate about and prepare a statement that expresses a strong opinion or idea that goes beyond agreeing with the status quo. “Women tend to speak in meetings when they agree with something that is already on the floor,” Adams says. “Work on putting a new idea out there first.” Arrive before the meeting starts and make small talk as colleagues come in, she says. This allows you to get comfortable with your voice in the room without any high stakes. “You are more apt to speak up during a meeting if you’ve already spoken to people,” she says. Use power language Get to the point and be clear about what you want. For instance, Adams says, there is a big difference between saying “I want this project to be successful so here’s what we should do” versus “Let’s take another look at this.”  Banish qualifying wor...
Recent posts

WAJASIRIAMALI WA TECHNOLOGY NA MAFANIKIO YAO

Wajasiriamali ni wengi katika tasnia hii ya technology. Kila mtu anajaribu kutumia ukuaji wa technology katika maendeleo yake binafsi na wengine wanatumia katika maendeleo ya jamii. Sikatai technology inafaida na hasara zake ila ndo mfumo wa dunia ya leo kuwa kunafaida na hasara. Kwa upande wa faida  Wao hutenda kwa ufanisi wa hali ya juu nakufanya kitu kuwa katika sifa na ubora, pia tabia na akili zao huja na mawazo ambayo huleta hamasa jamii. Lakini kwa sababu tu wao wanafikiri awali na kuja na wazo huchukua nafasi kubwa katika jamii zetu zinazotuzunguka. Kwa mfano wapo watu maharufu sana duniani kutokana na utumiaji mzuri wa technologia. Wapo nakina bill gates mmiliki na mwanzilishi wa microsoft, steven jobs moja wa waanzilishi wa iphone, mark Mark Zuckerberg  mwanzilishi wa facebook, Kevin Systromya mwanzilishi wa instagram na wengine wengi wapo wanaoendelea kula matunda ya technologia. Wewe pia unanafai yakufaidika na mitandao hata kwa kutumia ilio anzishwa na watu weng...
Worlds Brightest (G700 flashlight)   Inachukua kama dakika tatu kuona vizuri mpiga picha akikupiga picha usiku kwa kutumia flash au mwanga wa kamera Kwa wapenzi wa kuangalia filamu za wazungu utaona wanajeshi wakiingia kwenye mahandaki, wakiwa kwenye uokozi wa vifusi migodini au wakiwa kwenye vita za usiku kunatochi zinazomulika zinazo angaza umbali mrefu ikiachia macho uwezo wakuona vitu vya mbali, sasa kwa technologia ya kisasa au yakileo imekukuwa sio kuiona kwenye filam unaweza na wewe ukaimiliki nyumbani kwako. Ni baada ya  wanajeshi wameiachia kuiachia hiyo technologi kwa  wananchi wakawaida kutumie hiyo technologi ya mwanga LED G700. Ilikuwa ni technology ya kwenye filam na wanajeshi wengi ndo tumezoea kuona huko ila sasa wameamua na wewe mwananchi utumie ujivinjari na usiku uone kama mchana vile. Wameruhusu makampuni kuziuza tochi hizo aina ya kama LED G700 inavyoonekana hapa wanajeshi wakitumia G700 PICHA: HIYO NDO PICHA YA G700 ( LumiTact G700 – a...
  Kuanzisha tovuti kwa huduma mbalimbali Kwa afrika watu hunufaika na tovuti ndio kwanza ipo steji za mwanzoni, ni dhahiri unaona kila kijana anaangalia jinsi gani atajikwamua kiuchumi. kwa maana hiyo basi wewe kama kijana nikuchukua fursa hii na kucheck ni namna gan utaigusa jamii inayokuzunguka na ikubaliane na wewe katika lile jambo ulodhamiria kuwafikishia. Unaweza anzisha tovuti na kutoa huduma ya taarifa watu wanatafuta ,baada kuwa mmiminiko wa watu wengi wanaotembelea tovuti yako,unaweza sasa ongea na kampuni kadhaa kuja kutangaza na wewe  na kutengeneza fedha za kutosha.Kama hujui jinsi ya kutengeneza tovuti usijali kuna tovuti za bure kabisa  ambazo zimetengenezwa tayari kinachohitajika ni wewe kujaza fomu zao na ndani ya dakika moja unakuwa  na wewe tovuti yako,na kama unahitaji nunua domain unaweza ikawa moja kwa moja tovuti yako.Tovuti unazoweza ingia na kutengeneza tovuti yako bure ni  i)   www.weebly.com   ii)...

IJUE TECHNOLOGIA YA HABARI

2. Inafanya maisha kuwa rahisi Upatikanaji wa habari umerahisishwa kwa kutumia kumpyuta na intaneti. Kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano( communication technology ),watu wanaweza kufanya mikutano kwa kutumia video (video conference) kwa mfano program ya Skype. Vilevile mtu anaweza kuwasiliana na ndugu na marafiki kwa kutuma   ujumbe ( chatting ). kwa mfano Facebook, what supp, tweeter n.k, zinatusababisha ujumbe ufikwe kwa walengwa husika kwa wakati.   pia kwa kutumia technologia unaweza kufanya kazi yeyote kwa kutumia muda mdogo sana mfano kufikisha taarifa kwa jamii uanweza kutumia mitandao ya kijami. pia technologia inaongeza uafanisi wa kazi za kila siku mfano utumiaji wa outlook katika baadhi ya makampuni ambayo ufanisi wake wa kushea data katika vitengo vyake inakua rahisi pia utumiaji wa technologia ya database  inasaidia uhifadhi mzuri wa data katika kampuni    ni technologia inayotumika kuhifadhi data zote za kampuni au biashara yako n...

maonyesho ya kiteknolojia duniani

Kwa zaidi ya siku tatu  nimekua nikifuatilia maonyesho ya kiteknologia inchini Barcelona Hispania ambapo makampuni mbalimbali na makubwa ya dunia yamekusanyika kuonyesha ukali wao kwenye maswala ya digital. Mpaka sasa HUAWEI wameendelea kuongoza kwa kuzimiliki headlines kubwa za dunia kutokana na bidhaa mbalimbali walizozindua ambapo leo ilikua ni zamu ya hii saa ya kisasa. Ni saa ambayo pamoja na mambo mengine, inakupa muda kama zilivyosaa nyingine, simu yako inaweza kuwa mbali na wewe lakini hii saa ikakuonyesha nani anakupigia, inakupa utabiri wa hali ya hewa, kuna sehemu ya kukutunzia kumbukumbu za vitu unavyotaka kufanya. Kingine kikubwa nilichopenda ni kwamba ina uwezo wa kukutelea taarifa mpya kila wakati kama umepata msg Facebook, kwenye email na mitandao mingine ya kijamii. Hizo ni baadhi ya sifa zake tu. Inapatikana katika muonekano tofauti kama inavyoonekana hapa. Unaweza kutazama video ya maelezo mengine ya hii saa kwa ku...

IJUE TECHNOLOGIA YA HABARI

Nadhani sasa unakubaliana na mimi kuwa technologia ya habari inaendelea kukua na wanajamii wanaendelea kuelewa na kuona faida zake katika jamii. nikweli kabisa jamii inaendelea kuwa huru nakufyatilia ukuaji wake japo kuna wachache wanoendelea kubadilisha mtazamo chanya kuwa hasi katika technologia .sikatai kweli technologia ya habari ina mapungufu yake katika jamii lakini leonataka nikutajie faida tano za technologia ya habari katika jamii inayo tuzunguka Mawasiliano: kiukweli bila technologia wewe na mimi tunakubaliana kwamba tulikua tunashindwa kufikisha ujumbe mahali usika kwa wakati na kuchelewesha habari kufikia jamii husika kama kunatatizo katika jamii. hivyo technologia ya habari imekuja kuokoa jamii zetu na kuzidisha maendeleo mazuri katika jamii zetu ikiwemo kuipa fusa tofauti tofauti kama vyombo vya habari, mitandao ya kijamii, makampuni ya simu yanayoshika kasi katika ukuaji wake wakila siku.kwa mfano kampuni la airtel linazidi kujiongezea wateja kutokana na promotion...