Worlds Brightest (G700 flashlight)
Inachukua kama dakika tatu kuona vizuri mpiga picha akikupiga
picha usiku kwa kutumia flash au mwanga wa kamera
Kwa wapenzi wa kuangalia filamu za wazungu utaona wanajeshi
wakiingia kwenye mahandaki, wakiwa kwenye uokozi wa vifusi migodini au wakiwa
kwenye vita za usiku kunatochi zinazomulika zinazo angaza umbali mrefu ikiachia
macho uwezo wakuona vitu vya mbali, sasa kwa technologia ya kisasa au yakileo
imekukuwa sio kuiona kwenye filam unaweza na wewe ukaimiliki nyumbani kwako. Ni
baada ya wanajeshi wameiachia kuiachia
hiyo technologi kwa wananchi wakawaida
kutumie hiyo technologi ya mwanga LED G700. Ilikuwa ni technology ya kwenye
filam na wanajeshi wengi ndo tumezoea kuona huko ila sasa wameamua na wewe
mwananchi utumie ujivinjari na usiku uone kama mchana vile. Wameruhusu
makampuni kuziuza tochi hizo aina ya kama LED G700 inavyoonekana hapa
wanajeshi wakitumia G700
PICHA: HIYO NDO PICHA YA G700 (LumiTact G700 – a new Military Grade tactical flashlight.)
Ni aina ya tochi inamwanga 100* ya mwanga wa tochi zingine za kawaida
kwahivyo inaonyesha umbali mrefu kiasi kwamba kitu cha mbali kuna jua au kama kuna vifaa vingi vinavyotoa
mwanga kwa mfano anaglia hii picha hapa chini na mawazo ya watu katika dunia
hii endelevu kwenye ulimwengu wa kitechnologia
moja ya maajabu yake
leo nimewaletea Worlds Brightest tochi ya maajabu katika
ulimwengu wa kidigitali. Imenivutia kukujulisha wew uifyatialia technologia
kutambua tunapoelekea katika ulimwengu huu wakidigital. Ikumbukwe kuwa Watumiaji
wakubwa walikuwa wanajeshi wa mipakani na polisi wakikosi cha zima moto na waokoaji wa
marekani.



Comments
Post a Comment